sw_tn/act/02/27.md

452 B

Sentensi unganishi

Petro anamaliza nukuu ya Daudi.

Maelezo ya jumla

Petro anasema, Daudi alisema maneno kuwa Mtakatifu wangu akimaanisha Yesu na maneno "wako" akimaanisha Mungu.

wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo

Mwili wake Masihi hautabaki maiti muda mrefu mpaka uoze. au "kuchakaa"

njia za maisha

"kweli yenye-kuhuisha"

nijae furaha mbele ya uso wako.'

Neno "Uso" anamaanisha uwepo wa Mungu.

furaha

"Shangwe au Kicheko"