sw_tn/act/02/25.md

772 B

Maelezo ya jumla

Petro ananukuu kifungu ambacho Daudi alikiandika katika Zaburi kinachotaja kuteswa kwa Yesu na kufufuka kwake.

Maelezo ya jumla

Tangu Petro ataje kwamba Daudi alitangulia kusema maneno kuhusu Yesu, maneno "Mimi na Yangu" yanamtambulisha Yesu. Na maneno Bwana na Yeye" yanamtambulisha Mungu.

mbele ya uso wangu

Linamaanisha, "Mbele yangu au mbele ya uwepo wangu"

pembeni mkono wangu wa kulia

Mkono wa kulia ulifikiriwa kuwa ni wa nguvu sana. Mtu aliye mkono wa kuume alikuwa ama mtumishi mwenye nguvu sana au msaidizi mwenye uwezo sana.

moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulishangilia.

NI: "Nilikwa na furaha na kushangilia"

mwili wangu utaishi katika ujasiri

"Ingawa hata mimi ni wa kufa tu, nitakuwa na ujasiri kwa Mungu"