forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
772 B
Markdown
24 lines
772 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Petro ananukuu kifungu ambacho Daudi alikiandika katika Zaburi kinachotaja kuteswa kwa Yesu na kufufuka kwake.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Tangu Petro ataje kwamba Daudi alitangulia kusema maneno kuhusu Yesu, maneno "Mimi na Yangu" yanamtambulisha Yesu. Na maneno Bwana na Yeye" yanamtambulisha Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mbele ya uso wangu
|
||
|
|
||
|
Linamaanisha, "Mbele yangu au mbele ya uwepo wangu"
|
||
|
|
||
|
# pembeni mkono wangu wa kulia
|
||
|
|
||
|
Mkono wa kulia ulifikiriwa kuwa ni wa nguvu sana. Mtu aliye mkono wa kuume alikuwa ama mtumishi mwenye nguvu sana au msaidizi mwenye uwezo sana.
|
||
|
|
||
|
# moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulishangilia.
|
||
|
|
||
|
NI: "Nilikwa na furaha na kushangilia"
|
||
|
|
||
|
# mwili wangu utaishi katika ujasiri
|
||
|
|
||
|
"Ingawa hata mimi ni wa kufa tu, nitakuwa na ujasiri kwa Mungu"
|