sw_tn/act/02/18.md

403 B

Sentensi unganishi

Petro anaendelea kumnukuu nabii Joeli.

watumishi wangu na watumishi wangu wa kike

Wote waume kwa wake ni watumishi. Mungu atamwaga Roho wake kwa watumishi wake wote kwa wanaume na kwa wake.

Nitammimina Roho wangu

Mungu anamtoa Roho wake kwa ukarimu kwa watu wote.

toa unabii

Mungu anawatia msukumo kuizungumza kweli ya Mungu.

mafusho ya moshi.

"umande" au "ukungu"