forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
403 B
Markdown
20 lines
403 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Petro anaendelea kumnukuu nabii Joeli.
|
||
|
|
||
|
# watumishi wangu na watumishi wangu wa kike
|
||
|
|
||
|
Wote waume kwa wake ni watumishi. Mungu atamwaga Roho wake kwa watumishi wake wote kwa wanaume na kwa wake.
|
||
|
|
||
|
# Nitammimina Roho wangu
|
||
|
|
||
|
Mungu anamtoa Roho wake kwa ukarimu kwa watu wote.
|
||
|
|
||
|
# toa unabii
|
||
|
|
||
|
Mungu anawatia msukumo kuizungumza kweli ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mafusho ya moshi.
|
||
|
|
||
|
"umande" au "ukungu"
|