sw_tn/act/02/05.md

880 B

Maelezo ya jumla

Mstari wa 5 unatoa taarifa ya nyuma kuhusu idadi kubwa ya wayahudi ambao walikuwa wanaishi Yerusalemu, wengi wao walikuwapo wakati wa tukio hili.

Maelezo ya jumla

Hapa neno "wao" linajumuisha waumini na neno "yake" linataja kila mtu katika kundi.

watu wa Mungu

watu waliotaka kuheshimu na au kumwabudu Mungu

kila taifa chini ya mbingu

"kila taifa duniani" Watu kutoka mataifa mbalimbali walikuwa wamekuja Yerusalemu.

Wakati sauti hii iliposikika

Hii inarejea sauti ambayo ilikuwa kama upepo wa nguvu kuwa: "Waliposikia sauti hii"

Mkusanyiko

"kundi kubwa la watu"

Walishangaa kwa mshangao mkuu

Maneno haya yana maana moha. Mshangao wao ulikuwa mkuu sana.

Kweli, hawa wote wanaoongea siyo Wagalilaya?

Watu waliuliza swali wakionyesha mshangao wao kuwa hawa ni wa eneo moja na lugha yao ni moja iweje waongee na lugha za mataifa yetu?