forked from WA-Catalog/sw_tn
746 B
746 B
Sentensi unganishi:
Petro anaendeleza hotuba yake kwa waumini ambayo alikuwa ameianza.
Maelezo ya Jumla:
Ujumbe wake unasimulia vile Yuda alivyotenda akiunganisha na unabii wa maandiko, Petro anarejea ujumbe katika kitabu cha Zaburi kwamba anaamini inahusiana na tukio hilo.
Kwa sababu imeandikwa katika Kitabu cha Zaburi
Petro anathibitisha kuwa, "Daudi aliandika katika kitabu cha Zaburi".
'Ngoja eneo lake liwe hame na isiruhusiwe hata mmoja kuishi pale
Ni hali ya eneo kuachwa ukiwa kutokana na chanzo cha historia yake.
na isiruhusiwe hata mtu mmoja kuishi pale
Kiwanja ni najisi (mwiko/haramu) au haifai kuishi juu yake.
Ngoja mtu mwingine achukue nafasi yake ya uongozi
"Anaweza akarithiwa katika nafasi ya uongozi"