forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
746 B
Markdown
24 lines
746 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi:
|
||
|
|
||
|
Petro anaendeleza hotuba yake kwa waumini ambayo alikuwa ameianza.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ujumbe wake unasimulia vile Yuda alivyotenda akiunganisha na unabii wa maandiko, Petro anarejea ujumbe katika kitabu cha Zaburi kwamba anaamini inahusiana na tukio hilo.
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu imeandikwa katika Kitabu cha Zaburi
|
||
|
|
||
|
Petro anathibitisha kuwa, "Daudi aliandika katika kitabu cha Zaburi".
|
||
|
|
||
|
# 'Ngoja eneo lake liwe hame na isiruhusiwe hata mmoja kuishi pale
|
||
|
|
||
|
Ni hali ya eneo kuachwa ukiwa kutokana na chanzo cha historia yake.
|
||
|
|
||
|
# na isiruhusiwe hata mtu mmoja kuishi pale
|
||
|
|
||
|
Kiwanja ni najisi (mwiko/haramu) au haifai kuishi juu yake.
|
||
|
|
||
|
# Ngoja mtu mwingine achukue nafasi yake ya uongozi
|
||
|
|
||
|
"Anaweza akarithiwa katika nafasi ya uongozi"
|