forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
863 B
Markdown
40 lines
863 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Hapa neno "sisi" linaelezea kuhusu Yohana na wale waliokuwa pamoja naye bila kumjumuisha Gayo.
|
|
|
|
# Mpendwa
|
|
|
|
Hapa inatumika kama neno la utambulisho kwa wafuasi waumini.
|
|
|
|
# usiige kilicho kibaya
|
|
|
|
"Usifuatishe mambo maovu ambayo watu wanayatenda"
|
|
|
|
# bali iga kilicho chema
|
|
|
|
"Fuatisha mambo mema ambayo watu wanayatenda"
|
|
|
|
# ni wa Mungu
|
|
|
|
"Yanatokana na Mungu"
|
|
|
|
# hajamwona Mungu
|
|
|
|
eye si mali ya Mungu" au "Hajamwamini Mungu"
|
|
|
|
# Demetrio ameshuhudiwa na wote
|
|
|
|
Wote ambao wanamfahamu Demetrio wanamshuhudia" au "Kila mwumini anayemjua Demetrio ananema mema kumhusu yeye"
|
|
|
|
# Demetrio
|
|
|
|
Huyu yawezekana kuwa ni mtu ambaye Yohana anamtaka Gayo na kusanyiko lote kumkaribisha wakati wa ziara yake.
|
|
|
|
# na kweli yenyewe
|
|
|
|
"Kweli yenyewe pekee inanena ukweli juu yake, kwamba ni mtu mwema"
|
|
|
|
# sisi pia ni mashahidi
|
|
|
|
"Sisi pia tunanena mema yahusuyo Demetrio"
|