sw_tn/3jn/01/11.md

863 B

Maelezo ya jumla

Hapa neno "sisi" linaelezea kuhusu Yohana na wale waliokuwa pamoja naye bila kumjumuisha Gayo.

Mpendwa

Hapa inatumika kama neno la utambulisho kwa wafuasi waumini.

usiige kilicho kibaya

"Usifuatishe mambo maovu ambayo watu wanayatenda"

bali iga kilicho chema

"Fuatisha mambo mema ambayo watu wanayatenda"

ni wa Mungu

"Yanatokana na Mungu"

hajamwona Mungu

eye si mali ya Mungu" au "Hajamwamini Mungu"

Demetrio ameshuhudiwa na wote

Wote ambao wanamfahamu Demetrio wanamshuhudia" au "Kila mwumini anayemjua Demetrio ananema mema kumhusu yeye"

Demetrio

Huyu yawezekana kuwa ni mtu ambaye Yohana anamtaka Gayo na kusanyiko lote kumkaribisha wakati wa ziara yake.

na kweli yenyewe

"Kweli yenyewe pekee inanena ukweli juu yake, kwamba ni mtu mwema"

sisi pia ni mashahidi

"Sisi pia tunanena mema yahusuyo Demetrio"