forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.2 KiB
Markdown
44 lines
1.2 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Kusudi la Yohana la kuandika barua hii ilikuwa kumhimiza Gayo kuwa makini katika njia aliyoianza ya kufundisha Biblia; kisha anazungumzia habari za watu wawili, mmoja mwovu na mwingine mwema.
|
|
|
|
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Hapa neno "sisi" linamtambulisha Yohana na wale waliokuwa pamoja naye na yawezekana linawaunganisha waumini wote.
|
|
|
|
# Mpendwa
|
|
|
|
Hapa inatumika kama neno la utambulisho kwa wafuasi waumini.
|
|
|
|
# Unaenenda kwa uaminifu
|
|
|
|
"Unatenda kwa uaminifu kwa Mungu" au "Umekuwa mtii kwa Mungu"
|
|
|
|
# unapowahudumia ndugu na wageni
|
|
|
|
"Kuhudumia ndugu waumini na wale usiowajua"
|
|
|
|
# ambao wametoa ushuhuda wa upendo wako mbele ya kanisa.
|
|
|
|
"Wageni, ambao wamewaambia waumini katika kanisa jinsi mnavyowapenda"
|
|
|
|
# Unafanya vizuri kuwasafirisha
|
|
|
|
"Kwa unyenyekevu ninawaomba mpate kuwasafirisha
|
|
|
|
# Kwa sababu kwa ajili ya Jina, walienda
|
|
|
|
Hapa Jina linamaanisha Yesu. Walienda kuwaambia watu wengine kuhusu Yesu.
|
|
|
|
# bila kuchukua kitu chochote
|
|
|
|
Bila kupokea zawadi au misaada
|
|
|
|
# wa Mataifa
|
|
|
|
Hapa watu "wa mataifa" Haimaanishi kuwa ni watu wasio Wayahudi. Inamaanisha watu wasio na tumaini kwa Yesu.
|
|
|
|
# ili tuwe watenda kazi wenza kwa ajili ya kweli
|
|
|
|
"Ili kwamba tutashirikiana nao kuutangaza ukweli wa Mungu kwa watu"
|