sw_tn/2ti/03/16.md

518 B

Kila andiko limeandikwa kwa uwezo wa Mungu

"Mungu aliyanena Maandiko yote kwa roho yake" au " Kila andiko ni pumzi ya Mungu", na kutolewa na roho wa Mungu. Mungu aliwambia watu nini waandike.

Lafaa.

"yenye kutumika" au " yenye faida"

Kuonya.

"kuonesha makosa"

Kurekebisha

"Kusahihisha makosa"

Kufundisha.

"kuwa mwenye maadili" au "kuleta katika uwezo wa kufanya kitu.

Mwenye uwezo dhabiti.

"Kuwa kamili"

mtu wa Mungu

Hii inamaana ya mtu yeyote anayemwamini Mungu awe mwanaume au mwanamke.