sw_tn/2ti/01/12.md

720 B

Kwa sababu hii

"Kwa sababu mimi ni nabii"

Nateseka pia

Paulo anaelezea namna alivyo mfungwa.

Nina hakika

"Nina shawishika"

Siku ile

Inaweza kuwa na maana ya 1) Siku ambayo Bwana atakuja tena au 2) siku ambayo Mungu atawahukumu watu.

Utunze mfano wa ujumbe wa uaminifu uliousikia toka kwangu

"Endelea kufundisha mawazo ya kweli niliyokufundisha" au "tumia maneno yangu ma mafundisho yangu kama mfano kwa utakachofundisha"

Hilo jambo zuri

Hii inaelezea kazi ya kutangaza injili kwa usahihi.

Yatunze

Timotheo anatakiwa kuwa makini na watu wanaopinga kazi yake, wanajaribu kumkataza na kupinga nachokisema.

Kupitia roho mtakatifu

"Fanya yote na yale ambayo roho mtakatifu amekwambia uyafanye"