forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
566 B
Markdown
20 lines
566 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Paulo anahitimisha maoni/ ufafanuzi wake wakristo wa Thesalonike.
|
|
|
|
# Bwana wa amani mwenyewe awape ninyi
|
|
|
|
Unaweza kuweka wazi kuwa haya ni maombi ya Paulo kwa Wathesalonike. AT: "Ninaomba kwamba Bwana wa amani mwenyewe awapeni..."
|
|
|
|
# Bwana wa amani mwenyewe
|
|
|
|
"Mwenyewe" inaelezea kwamba Bwana mwenyewe atawapa amani wakristo.
|
|
|
|
# Hii ni salamu yangu mwenyewe, Paulo, kwa mikono yangu mwenyewe
|
|
|
|
"Mimi, Paulo, naandika salamu kwa mkono wangu mwenyewe"
|
|
|
|
# Hivi ndivyo niandikavyo
|
|
|
|
Paul anaweka wazi kwamba hii barua inatoka kwake na sio ya kubumba
|