sw_tn/2th/03/16.md

566 B

Maelezo ya Jumla:

Paulo anahitimisha maoni/ ufafanuzi wake wakristo wa Thesalonike.

Bwana wa amani mwenyewe awape ninyi

Unaweza kuweka wazi kuwa haya ni maombi ya Paulo kwa Wathesalonike. AT: "Ninaomba kwamba Bwana wa amani mwenyewe awapeni..."

Bwana wa amani mwenyewe

"Mwenyewe" inaelezea kwamba Bwana mwenyewe atawapa amani wakristo.

Hii ni salamu yangu mwenyewe, Paulo, kwa mikono yangu mwenyewe

"Mimi, Paulo, naandika salamu kwa mkono wangu mwenyewe"

Hivi ndivyo niandikavyo

Paul anaweka wazi kwamba hii barua inatoka kwake na sio ya kubumba