sw_tn/2th/03/06.md

1.2 KiB

Maelezo ya Jumla:

Paulo anawapa waumini maelekezo ya mwisho kuhusu kufanya kazi na sio kukaa bila kufanya kazi.

Sasa

Paulo anatumia neno hili kuonyesha kubadili mada.

katika jina la Bwana Yesu Kristo

"kwa mamlaka ya Yesu"

ndugu

hapa "ndugu" linamaanisha wakristo wenzetu, inajumuisha wote wanaume na wanawake. AT: "ndugu wa kiume na wakike"

Bwana wetu

Neno "wetu" linamaanisha waumini wote.

kuishi bila kufanya kazi

"ni mzembe na anazuia kufanya kazi"

kutuiga sisi

" kufanya kama Paulona wenzake" au " kutenda kama Paulo na watenda kazi wenzake'

Hatukuishi kati yenu kama wale wasio na nidhamu

Paulo anatumia maneno hasi ili kusisitiza maneno chanya. AT: "Tuiishi miongoni mwenu kama waliokuwa na nidhamu sana"

tulifanya kazi usiku na mchana

"tulifanya kazi wakati wa usiku na wakati wa mchana" au "tulifanya kazi muda wote"

katika kazi ngumu na shida

Paulo anasisitizajinsi hali yake ilivyokuwa ngumu. kazi ngumu inamaanisha kazi ambayo inahitaji juhudi kubwa. Ugumu inamaanisha walivumia maumivuna mateso.AT: "katika hali ngumu.

Tulifanya hivi sio kwa sababu hatukuwa ma mamlaka

Paulo anatumia neno hasi kusisitiza upande chanya. Hii inaweza kusemwa kama chanya. AT: "pasina shaka tulikuwa na mamlaka."