forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
686 B
Markdown
28 lines
686 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Paulo anafundisha kuhusu mtu wa uasi.
|
|
|
|
# haitakuja
|
|
|
|
"siku ya Bwana haitakuja"
|
|
|
|
# anguko
|
|
|
|
hii inamaanisha wakati ujao ambao watu wengi watampa Mungu kisogo.
|
|
|
|
# na mwana wa uasi amefuniuliwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: na Mungu anamfunua mtu wa uasi
|
|
|
|
# mwana wa uaharibifu
|
|
|
|
Paulo anaongea uharibifu kama mtu alizaa mwana ambaye lengo lake ni kuharibu kila kitu. AT: "yeye aharibuye kila kitu anachoweza"
|
|
|
|
# vyote vinavyoitwa Mungu au vivavyoabudiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "kila kitu ambacho watu hukifanya kuwa Mungu au kila kitu ambacho watu huabudu"
|
|
|
|
# anajiinua mwenyewe kama Mungu
|
|
|
|
"anajionyesha mwenyewe kama Mungu"
|