sw_tn/2th/02/03.md

686 B

Maelezo ya Jumla:

Paulo anafundisha kuhusu mtu wa uasi.

haitakuja

"siku ya Bwana haitakuja"

anguko

hii inamaanisha wakati ujao ambao watu wengi watampa Mungu kisogo.

na mwana wa uasi amefuniuliwa

Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: na Mungu anamfunua mtu wa uasi

mwana wa uaharibifu

Paulo anaongea uharibifu kama mtu alizaa mwana ambaye lengo lake ni kuharibu kila kitu. AT: "yeye aharibuye kila kitu anachoweza"

vyote vinavyoitwa Mungu au vivavyoabudiwa

Hii inaweza kusemwa katika muundo tendaji. AT: "kila kitu ambacho watu hukifanya kuwa Mungu au kila kitu ambacho watu huabudu"

anajiinua mwenyewe kama Mungu

"anajionyesha mwenyewe kama Mungu"