forked from WA-Catalog/sw_tn
423 B
423 B
watateseka
Neno "wataseka" wanamaanishwa watu wasioitii injili.
atakapokuja sike ile
Hapa "siku ile" ni siku Yesu atakaporudi duniani.
ili atukuzwe na watakatifu wake
Hii inaweza kusemwa katika hali halisi. AT: "watu wake waliomwamini watamtukuza "
watastaajabishwa na wale wote walioamini
Hii inaweza kuwa katika hali tendaji. "wale wote walioamini watashangaa" au "wale wote walioamini watamshangaa yeye"