sw_tn/2th/01/09.md

423 B

watateseka

Neno "wataseka" wanamaanishwa watu wasioitii injili.

atakapokuja sike ile

Hapa "siku ile" ni siku Yesu atakaporudi duniani.

ili atukuzwe na watakatifu wake

Hii inaweza kusemwa katika hali halisi. AT: "watu wake waliomwamini watamtukuza "

watastaajabishwa na wale wote walioamini

Hii inaweza kuwa katika hali tendaji. "wale wote walioamini watashangaa" au "wale wote walioamini watamshangaa yeye"