forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
423 B
Markdown
16 lines
423 B
Markdown
|
# watateseka
|
||
|
|
||
|
Neno "wataseka" wanamaanishwa watu wasioitii injili.
|
||
|
|
||
|
# atakapokuja sike ile
|
||
|
|
||
|
Hapa "siku ile" ni siku Yesu atakaporudi duniani.
|
||
|
|
||
|
# ili atukuzwe na watakatifu wake
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika hali halisi. AT: "watu wake waliomwamini watamtukuza "
|
||
|
|
||
|
# watastaajabishwa na wale wote walioamini
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa katika hali tendaji. "wale wote walioamini watashangaa" au "wale wote walioamini watamshangaa yeye"
|