sw_tn/2th/01/03.md

776 B

Maelezo ya Jumla:

Paulo anatoa shukrani kwa ajili ya waumini katika kanisa la Thesalonike.

kupaswa kutoa shukrani kwa Mungu

Paulo anasema anapaswa kumshukuru Mungu mara kwa mara.

ndugu

Hapa "ndugu" inamaanisha Wakristo wenzetu, ikijumuisha wanaume kwa wanawake.

Hivi ndivyo ipasavyo

"kwa kuwa hiki ni kitu sahihi cha kufanya" au " ni vyema"

Upendo ambao kwa kila mmoja amefungamanishwa na mwenzake

"mnapendana nyinyi kwa nyinyi"

kila mtu na mwenzake

Kila mtu na mwenzake lina maanisha Wakristo wenzetu."

sisi wenyewe

Hapa "wenyewe" limetumika kusisitiza kujisifu kwa Paulo.

kwamba mpate kuhesabiwa kuwa mnastahili kwa ajili ya ufalme wa Mungu.

Hii inakwemwa katika muundo tendaji. AT: "kwamba Mungu atawahesu kuwa wa sehemu ya ufalme wa Mungu."