forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
320 B
Markdown
12 lines
320 B
Markdown
# wazidishe... mara mia zaidi
|
|
|
|
Inamaanisha "kuzalisha watu mia moja kwa kila mtu aliyekuwepo wakati huo."
|
|
|
|
# neno la mfalme lilikuwa la mwisho dhidi ya Yoabu
|
|
|
|
Yoabu na majemedari wengine wa Mfalme Daudi hawakufanikiwa kumshawishi Daudi kutochukua sensa.
|
|
|
|
# neno la mfalme
|
|
|
|
Kifungu kinawakilisha agizo la mfalme juu yao.
|