sw_tn/2sa/24/03.md

320 B

wazidishe... mara mia zaidi

Inamaanisha "kuzalisha watu mia moja kwa kila mtu aliyekuwepo wakati huo."

neno la mfalme lilikuwa la mwisho dhidi ya Yoabu

Yoabu na majemedari wengine wa Mfalme Daudi hawakufanikiwa kumshawishi Daudi kutochukua sensa.

neno la mfalme

Kifungu kinawakilisha agizo la mfalme juu yao.