sw_tn/2sa/23/18.md

506 B

Abishai ... Seruya.

Haya ni majina ya wanaume

kapteni juu ya watatu

Inamaana Abishai alikuwa kiongozi wa wale watatu walikwenda kumchukulia Daudi maji.

watu mia tatu

"watu 300"

alitajwa pamoja na wale askari watatu.

"Watu walimtaja walipozungumzia wale mashujaa zaidi watatu"

hakuwa maarufu zaidi ya wale watatu?

Swali linasisitiza jinsi alivyokuwa maarufu.

wale mashujaa watatu

Hii inarejerea kwa Yoshebu Bashebethi, Eleaza na Shama. Abishai hakuwa maarufu kama hawa askari hawa.