forked from WA-Catalog/sw_tn
506 B
506 B
Abishai ... Seruya.
Haya ni majina ya wanaume
kapteni juu ya watatu
Inamaana Abishai alikuwa kiongozi wa wale watatu walikwenda kumchukulia Daudi maji.
watu mia tatu
"watu 300"
alitajwa pamoja na wale askari watatu.
"Watu walimtaja walipozungumzia wale mashujaa zaidi watatu"
hakuwa maarufu zaidi ya wale watatu?
Swali linasisitiza jinsi alivyokuwa maarufu.
wale mashujaa watatu
Hii inarejerea kwa Yoshebu Bashebethi, Eleaza na Shama. Abishai hakuwa maarufu kama hawa askari hawa.