forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
506 B
Markdown
24 lines
506 B
Markdown
|
# Abishai ... Seruya.
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume
|
||
|
|
||
|
# kapteni juu ya watatu
|
||
|
|
||
|
Inamaana Abishai alikuwa kiongozi wa wale watatu walikwenda kumchukulia Daudi maji.
|
||
|
|
||
|
# watu mia tatu
|
||
|
|
||
|
"watu 300"
|
||
|
|
||
|
# alitajwa pamoja na wale askari watatu.
|
||
|
|
||
|
"Watu walimtaja walipozungumzia wale mashujaa zaidi watatu"
|
||
|
|
||
|
# hakuwa maarufu zaidi ya wale watatu?
|
||
|
|
||
|
Swali linasisitiza jinsi alivyokuwa maarufu.
|
||
|
|
||
|
# wale mashujaa watatu
|
||
|
|
||
|
Hii inarejerea kwa Yoshebu Bashebethi, Eleaza na Shama. Abishai hakuwa maarufu kama hawa askari hawa.
|