forked from WA-Catalog/sw_tn
406 B
406 B
Maelezo ya Ujumla
Hii inahitimisha maneno ya mwisho ya Daudi.
Lakini yasiyofaa yote yatakuwa kama miiba na kutupwa mbali
Hapa waovu wanalinganishwa na miba isiyofaa.
kwa maana haiwezekani kukusanywa kwa mikono
"Kwa maana hakuna awezaye kuichukua kwa mikono yake bila kumwumiza"
Ni lazima yachomwe mahali yalipo
"Yalipo" ndipo yanapochomewa." Hii inamaanisha kwamba Mungu atawaharibu waovu.