sw_tn/2sa/23/06.md

406 B

Maelezo ya Ujumla

Hii inahitimisha maneno ya mwisho ya Daudi.

Lakini yasiyofaa yote yatakuwa kama miiba na kutupwa mbali

Hapa waovu wanalinganishwa na miba isiyofaa.

kwa maana haiwezekani kukusanywa kwa mikono

"Kwa maana hakuna awezaye kuichukua kwa mikono yake bila kumwumiza"

Ni lazima yachomwe mahali yalipo

"Yalipo" ndipo yanapochomewa." Hii inamaanisha kwamba Mungu atawaharibu waovu.