forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
406 B
Markdown
16 lines
406 B
Markdown
|
# Maelezo ya Ujumla
|
||
|
|
||
|
Hii inahitimisha maneno ya mwisho ya Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Lakini yasiyofaa yote yatakuwa kama miiba na kutupwa mbali
|
||
|
|
||
|
Hapa waovu wanalinganishwa na miba isiyofaa.
|
||
|
|
||
|
# kwa maana haiwezekani kukusanywa kwa mikono
|
||
|
|
||
|
"Kwa maana hakuna awezaye kuichukua kwa mikono yake bila kumwumiza"
|
||
|
|
||
|
# Ni lazima yachomwe mahali yalipo
|
||
|
|
||
|
"Yalipo" ndipo yanapochomewa." Hii inamaanisha kwamba Mungu atawaharibu waovu.
|