forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
339 B
Markdown
12 lines
339 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Wimbo wa Daudi kwa Yahwe unaendelea. Anatumia usambaba kusisitiza akisemacho
|
|
|
|
# kutoka katika vilindi vya maji
|
|
|
|
Daudi analinganisha adui zake na mafuriko yanayotishia kumzamisha.
|
|
|
|
# Aliokoa kuatoka kwa adui yangu mwenye nguvu.
|
|
|
|
Adui wa Daudi walikuwa na nguvu. Alimsifu Mungu kwa kumkomboa kutoka kwa adui zake wote.
|