forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
851 B
Markdown
24 lines
851 B
Markdown
# Kwa nini basi mkasirike juu ya hili?
|
|
|
|
Watu wa Israeli wanauliza swali hili kuwakemea watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Je sisi tumekula chochote ambacho mfalme amekitoa? Je ametupa zawadi yoyote?
|
|
|
|
Watu wa Yuda kama swali linavyoonesha wanaonesha kwamba hawajachukua chochote kwa mfalme.
|
|
|
|
# Hata hivyo tuna haki zaidi kwa mfalme kuliko ninyi
|
|
|
|
"Tuna madai makubwa kwa Daudi kuliko ninyi." Yaani "tuna haki zaidi ya kumhudumia mfalme na kuwa naye kuliko ninyi"
|
|
|
|
# Kwa nini basi kutudharau?
|
|
|
|
Waisraeli wanauliza swali hili kuonesha hasira yao. Yaweza kuwa "hamkupaswa kutudharau hivyo!"
|
|
|
|
# Je hatukuwa wa kwanza kupendekeza kumrudisha mfalme wetu?
|
|
|
|
Watu wa Israeli wanauliza swali hili kuwakumbusha na kuwakemea watu wa Yuda.
|
|
|
|
# Lakini maneno ya watu wa Yuda hata yakawa makali kuliko maneno ya watu wa Israeli.
|
|
|
|
Hapa "maneno" yarejerea mazungumzo ya watu wa Yuda.
|