sw_tn/2sa/19/42.md

851 B

Kwa nini basi mkasirike juu ya hili?

Watu wa Israeli wanauliza swali hili kuwakemea watu wa Israeli.

Je sisi tumekula chochote ambacho mfalme amekitoa? Je ametupa zawadi yoyote?

Watu wa Yuda kama swali linavyoonesha wanaonesha kwamba hawajachukua chochote kwa mfalme.

Hata hivyo tuna haki zaidi kwa mfalme kuliko ninyi

"Tuna madai makubwa kwa Daudi kuliko ninyi." Yaani "tuna haki zaidi ya kumhudumia mfalme na kuwa naye kuliko ninyi"

Kwa nini basi kutudharau?

Waisraeli wanauliza swali hili kuonesha hasira yao. Yaweza kuwa "hamkupaswa kutudharau hivyo!"

Je hatukuwa wa kwanza kupendekeza kumrudisha mfalme wetu?

Watu wa Israeli wanauliza swali hili kuwakumbusha na kuwakemea watu wa Yuda.

Lakini maneno ya watu wa Yuda hata yakawa makali kuliko maneno ya watu wa Israeli.

Hapa "maneno" yarejerea mazungumzo ya watu wa Yuda.