forked from WA-Catalog/sw_tn
494 B
494 B
kutoka katika mkono wa adui zetu
Hapa "mkono" unamaanisha umiliki.
kutoka katika mkono wa Wafilisiti
Hapa "mkono" unamaanisha umiliki. Yaani kutoka chini ya miliki ya Wafilisiti.
kuikimbia nchi mbele ya Absalomu
Hii inamaanisha aliikimbia nchi mbele ya Absalomu.
Amekufa vitani
"alikufa vitani"
kwa nini hatuongei juu ya kumrudisha mfalme tena
Hii inamaanisha wanapaswa kuangalia uwezekano wa kumrudisha Daudi kwa kuwa Absalomu alikuwa amekufa.
mfalme
Inamrejerea Daudi