sw_tn/2sa/19/09.md

494 B

kutoka katika mkono wa adui zetu

Hapa "mkono" unamaanisha umiliki.

kutoka katika mkono wa Wafilisiti

Hapa "mkono" unamaanisha umiliki. Yaani kutoka chini ya miliki ya Wafilisiti.

kuikimbia nchi mbele ya Absalomu

Hii inamaanisha aliikimbia nchi mbele ya Absalomu.

Amekufa vitani

"alikufa vitani"

kwa nini hatuongei juu ya kumrudisha mfalme tena

Hii inamaanisha wanapaswa kuangalia uwezekano wa kumrudisha Daudi kwa kuwa Absalomu alikuwa amekufa.

mfalme

Inamrejerea Daudi