forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
494 B
Markdown
24 lines
494 B
Markdown
|
# kutoka katika mkono wa adui zetu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unamaanisha umiliki.
|
||
|
|
||
|
# kutoka katika mkono wa Wafilisiti
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unamaanisha umiliki. Yaani kutoka chini ya miliki ya Wafilisiti.
|
||
|
|
||
|
# kuikimbia nchi mbele ya Absalomu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha aliikimbia nchi mbele ya Absalomu.
|
||
|
|
||
|
# Amekufa vitani
|
||
|
|
||
|
"alikufa vitani"
|
||
|
|
||
|
# kwa nini hatuongei juu ya kumrudisha mfalme tena
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wanapaswa kuangalia uwezekano wa kumrudisha Daudi kwa kuwa Absalomu alikuwa amekufa.
|
||
|
|
||
|
# mfalme
|
||
|
|
||
|
Inamrejerea Daudi
|