forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
462 B
Markdown
20 lines
462 B
Markdown
# akainama yeye mwenyewe uso wake chini mbele ya mfalme
|
|
|
|
Alifanya hivi ili kumweshimu Mfalme.
|
|
|
|
# Atukuzwe Yahwe
|
|
|
|
"Atukuzwe Yahwe." Hapa "kubarika inamaanisha kutukuza.
|
|
|
|
# watu walioinua mkono wao kinyume cha bwana wangu mfalme
|
|
|
|
Hapa Ahimaasi anazungumzia watu wanaompinga mfalme kama vile walikuwa wakiinua mikono yao juu yake.
|
|
|
|
# fujo kubwa
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa watu walikuwa wakifanya mambo kama hayakuwa sawa
|
|
|
|
# Geuka kando
|
|
|
|
"Toka njiani" au "simama kando"
|