sw_tn/2sa/18/28.md

462 B

akainama yeye mwenyewe uso wake chini mbele ya mfalme

Alifanya hivi ili kumweshimu Mfalme.

Atukuzwe Yahwe

"Atukuzwe Yahwe." Hapa "kubarika inamaanisha kutukuza.

watu walioinua mkono wao kinyume cha bwana wangu mfalme

Hapa Ahimaasi anazungumzia watu wanaompinga mfalme kama vile walikuwa wakiinua mikono yao juu yake.

fujo kubwa

Hii inamaanisha kuwa watu walikuwa wakifanya mambo kama hayakuwa sawa

Geuka kando

"Toka njiani" au "simama kando"