forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
532 B
Markdown
20 lines
532 B
Markdown
# shekeli elfu za fedha
|
|
|
|
"shekeli 1,000 za fedha." Katika vipimo vya sasa ni sawa na salafu 1,000" au "kilo 11 za sarafu"
|
|
|
|
# nisingeinua mkono wangu juu ya mwana wa mfalme
|
|
|
|
Kifungu "kuinua mkono" kinamaana ya kushambulia.
|
|
|
|
# Mtu asimguse
|
|
|
|
Hapa "kugusa" inamaanisha "kudhuru"
|
|
|
|
# Uongo
|
|
|
|
Neno "uongo" laweza kuelezwa kwa kirai kitenzi. Lakini pia inahusu kutotii agizo la mfalme.
|
|
|
|
# Hakuna cha kufichika kwa mfalme
|
|
|
|
Hii inamaana jinsi mfalme anavyojua karibu kila kitu kitendekacho kama vile kila kitu kilikuwa na umbo kujua kilipo.
|