sw_tn/2sa/18/12.md

532 B

shekeli elfu za fedha

"shekeli 1,000 za fedha." Katika vipimo vya sasa ni sawa na salafu 1,000" au "kilo 11 za sarafu"

nisingeinua mkono wangu juu ya mwana wa mfalme

Kifungu "kuinua mkono" kinamaana ya kushambulia.

Mtu asimguse

Hapa "kugusa" inamaanisha "kudhuru"

Uongo

Neno "uongo" laweza kuelezwa kwa kirai kitenzi. Lakini pia inahusu kutotii agizo la mfalme.

Hakuna cha kufichika kwa mfalme

Hii inamaana jinsi mfalme anavyojua karibu kila kitu kitendekacho kama vile kila kitu kilikuwa na umbo kujua kilipo.