forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
656 B
Markdown
32 lines
656 B
Markdown
# Ikatukia kwamba Absalomu akakutana na askari wa Daudi
|
|
|
|
Hili ni tukio lilotokea wakati wa vita.
|
|
|
|
# na kichwa chake kikanaswa katika matawi ya mti
|
|
|
|
Absalomu alikuwa na nywele ndefu zilizonasa kwenye matawi ya mti.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Neno hili linavuta makini ya mtu kwa ajili ya kinachofuata.
|
|
|
|
# Ning'inia
|
|
|
|
Kuelea juu bila kukanyaga juu ya nchi au kitu.
|
|
|
|
# kati ya nchi na anga
|
|
|
|
"Hewani"
|
|
|
|
# Kwa nini haukumpiga hata chini
|
|
|
|
Swali hili linamaanisha alipaswa kuwa amemuua.
|
|
|
|
# shekeli kumi za fedha na mkanda
|
|
|
|
Katika viwango vya sasa ni sawa na gramu 110 za fedha.
|
|
|
|
# mkanda
|
|
|
|
Huu ni mkanda maalumu unaoonesha kwamba mtu fulani ni askari mwenye cheo ili apewe heshima.
|