forked from WA-Catalog/sw_tn
656 B
656 B
Ikatukia kwamba Absalomu akakutana na askari wa Daudi
Hili ni tukio lilotokea wakati wa vita.
na kichwa chake kikanaswa katika matawi ya mti
Absalomu alikuwa na nywele ndefu zilizonasa kwenye matawi ya mti.
Tazama
Neno hili linavuta makini ya mtu kwa ajili ya kinachofuata.
Ning'inia
Kuelea juu bila kukanyaga juu ya nchi au kitu.
kati ya nchi na anga
"Hewani"
Kwa nini haukumpiga hata chini
Swali hili linamaanisha alipaswa kuwa amemuua.
shekeli kumi za fedha na mkanda
Katika viwango vya sasa ni sawa na gramu 110 za fedha.
mkanda
Huu ni mkanda maalumu unaoonesha kwamba mtu fulani ni askari mwenye cheo ili apewe heshima.