sw_tn/2sa/18/09.md

656 B

Ikatukia kwamba Absalomu akakutana na askari wa Daudi

Hili ni tukio lilotokea wakati wa vita.

na kichwa chake kikanaswa katika matawi ya mti

Absalomu alikuwa na nywele ndefu zilizonasa kwenye matawi ya mti.

Tazama

Neno hili linavuta makini ya mtu kwa ajili ya kinachofuata.

Ning'inia

Kuelea juu bila kukanyaga juu ya nchi au kitu.

kati ya nchi na anga

"Hewani"

Kwa nini haukumpiga hata chini

Swali hili linamaanisha alipaswa kuwa amemuua.

shekeli kumi za fedha na mkanda

Katika viwango vya sasa ni sawa na gramu 110 za fedha.

mkanda

Huu ni mkanda maalumu unaoonesha kwamba mtu fulani ni askari mwenye cheo ili apewe heshima.