sw_tn/2sa/18/06.md

529 B

jeshi likaenda nyikani dhidi ya Israel

Hii inamaanisha kwamba walikwenda na kupigana nao vitani.

eshi la Israeli likashindwa mbele ya askari wa Daudi

Inaweza kuelezwa katika muundo tendaji yaani "Askari wa Daudi walilishinda jeshi la Israeli"

Machinjo makuu

Tukio ambapo watu wengi waliuawa kwa ukatili.

Watu elfu ishirini

"20,000"

watu wengi wakaangamizwa na msitu kuliko upanga

Hapa "msitu" unaelezwa kama ulikuwa hai kuweza kufanya kitendo. "Upanga" inahusu jeshi la Daudi lililoweza kupigana kwa upanga.