forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
529 B
Markdown
20 lines
529 B
Markdown
|
# jeshi likaenda nyikani dhidi ya Israel
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba walikwenda na kupigana nao vitani.
|
||
|
|
||
|
# eshi la Israeli likashindwa mbele ya askari wa Daudi
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuelezwa katika muundo tendaji yaani "Askari wa Daudi walilishinda jeshi la Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Machinjo makuu
|
||
|
|
||
|
Tukio ambapo watu wengi waliuawa kwa ukatili.
|
||
|
|
||
|
# Watu elfu ishirini
|
||
|
|
||
|
"20,000"
|
||
|
|
||
|
# watu wengi wakaangamizwa na msitu kuliko upanga
|
||
|
|
||
|
Hapa "msitu" unaelezwa kama ulikuwa hai kuweza kufanya kitendo. "Upanga" inahusu jeshi la Daudi lililoweza kupigana kwa upanga.
|