sw_tn/2sa/18/05.md

318 B

Abishai

Hili ni jina la mwanamme

Itai

Hili ni jina la mwanamme

Mmtendee kwa upole kwa ajili yangu

"Kwa ajili yangu, msimdhuru." Kifungu "mmtendee kwa upole" inamaanisha kuwa mpole kwa mtu bila kumdhuru.

Kwa ajili yangu

"faida yangu" au "kwa ajili yangu"

kijana, pamoja na Absalom

"Kijana Absalomu"