forked from WA-Catalog/sw_tn
318 B
318 B
Abishai
Hili ni jina la mwanamme
Itai
Hili ni jina la mwanamme
Mmtendee kwa upole kwa ajili yangu
"Kwa ajili yangu, msimdhuru." Kifungu "mmtendee kwa upole" inamaanisha kuwa mpole kwa mtu bila kumdhuru.
Kwa ajili yangu
"faida yangu" au "kwa ajili yangu"
kijana, pamoja na Absalom
"Kijana Absalomu"