sw_tn/2sa/18/05.md

20 lines
318 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Abishai
Hili ni jina la mwanamme
# Itai
Hili ni jina la mwanamme
# Mmtendee kwa upole kwa ajili yangu
"Kwa ajili yangu, msimdhuru." Kifungu "mmtendee kwa upole" inamaanisha kuwa mpole kwa mtu bila kumdhuru.
# Kwa ajili yangu
"faida yangu" au "kwa ajili yangu"
# kijana, pamoja na Absalom
"Kijana Absalomu"