forked from WA-Catalog/sw_tn
471 B
471 B
Ikawa
"Ikatukia." Kifungu hiki kinaonesha tukio jingine katika habari
vuka juu ya maji haraka
Hapa "maji" yanarejerea Mto Yordani.
Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya
usemi "haya na haya" umetumika mahali pa habari ambayo tiyari msomaji anaifahamu. Hapa inahusu ushauri alioutoa Aithofeli kwa Absalomu katika 17:1.
Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani
Sentence hii imetumika kusisitiza kwamba wote walivuka mto.