sw_tn/2sa/17/21.md

471 B

Ikawa

"Ikatukia." Kifungu hiki kinaonesha tukio jingine katika habari

vuka juu ya maji haraka

Hapa "maji" yanarejerea Mto Yordani.

Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya

usemi "haya na haya" umetumika mahali pa habari ambayo tiyari msomaji anaifahamu. Hapa inahusu ushauri alioutoa Aithofeli kwa Absalomu katika 17:1.

Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani

Sentence hii imetumika kusisitiza kwamba wote walivuka mto.