forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
471 B
Markdown
16 lines
471 B
Markdown
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
"Ikatukia." Kifungu hiki kinaonesha tukio jingine katika habari
|
||
|
|
||
|
# vuka juu ya maji haraka
|
||
|
|
||
|
Hapa "maji" yanarejerea Mto Yordani.
|
||
|
|
||
|
# Ahithofeli ametoa mashauri haya na haya
|
||
|
|
||
|
usemi "haya na haya" umetumika mahali pa habari ambayo tiyari msomaji anaifahamu. Hapa inahusu ushauri alioutoa Aithofeli kwa Absalomu katika 17:1.
|
||
|
|
||
|
# Hata ilipofika alfajiri hakuna hata mmoja aliyesalia kwa kutouvuka Yordani
|
||
|
|
||
|
Sentence hii imetumika kusisitiza kwamba wote walivuka mto.
|