forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
757 B
Markdown
44 lines
757 B
Markdown
# Ahithofeli
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamke
|
|
|
|
# Watu kumi na mbili elfu
|
|
|
|
"watu 12,000"
|
|
|
|
# inuka na
|
|
|
|
"kuanza ku"
|
|
|
|
# njoo
|
|
|
|
"Kuja kwa"
|
|
|
|
# amechoka na dhaifu
|
|
|
|
Kimsingi maneno haya yanamaanisha kitu kimoja na yanatumika kwa pamoja kusisitiza jinsi Daudi alivyokuwa dhaifu.
|
|
|
|
# tutamshangaza kwa hofu
|
|
|
|
Hapa neno "hofu" laweza kuelezwa kwa kisifa "kuogopa."
|
|
|
|
# Nitamshambulia mfalme peke yake
|
|
|
|
Inaonesha kwamba alikusudia kumwua mfalme.
|
|
|
|
# kuwarudisha watu wote
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu wote waliokuwa pamoja na Daudi.
|
|
|
|
# kama bibi harusi akija kwa mmewe
|
|
|
|
Hapa Ahithofeli anazunguza furaha ya watu kwa kulinganisha na furaha ya bibi harusi.
|
|
|
|
# Kuwa katika amani
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa na amani au kuishi kwa amani.
|
|
|
|
# chini yako
|
|
|
|
Hii inahusu kuwa chini ya mamlaka ya mfalme.
|