sw_tn/2sa/17/01.md

757 B

Ahithofeli

Hili ni jina la mwanamke

Watu kumi na mbili elfu

"watu 12,000"

inuka na

"kuanza ku"

njoo

"Kuja kwa"

amechoka na dhaifu

Kimsingi maneno haya yanamaanisha kitu kimoja na yanatumika kwa pamoja kusisitiza jinsi Daudi alivyokuwa dhaifu.

tutamshangaza kwa hofu

Hapa neno "hofu" laweza kuelezwa kwa kisifa "kuogopa."

Nitamshambulia mfalme peke yake

Inaonesha kwamba alikusudia kumwua mfalme.

kuwarudisha watu wote

Hii inamaanisha watu wote waliokuwa pamoja na Daudi.

kama bibi harusi akija kwa mmewe

Hapa Ahithofeli anazunguza furaha ya watu kwa kulinganisha na furaha ya bibi harusi.

Kuwa katika amani

Hii inamaanisha kuwa na amani au kuishi kwa amani.

chini yako

Hii inahusu kuwa chini ya mamlaka ya mfalme.