sw_tn/2sa/16/20.md

454 B

Ahithofeli

Hili ni jina la mwanamme

kulitunza kasiri

Kifungu "kutunza" kinamaanisha kuangalia.

kuwa kitu kinachonuka mbele ya baba yako

Ahithofeli anazungumia Absalomu kumchukiza baba yake kama vile kingekuwa kitu ambacho kina harufu ya kuchukiza.

Kisha mikono ya wote walio pamoja nawe itatiwa nguvu

Hapa watu waliomfuata Absalomu wanarejerea kwa kutaja mikono yao. Habari hii itaitia nguvu utiifu wa watu kwa Absalomu na kuwapa hamasa.