forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
782 B
Markdown
28 lines
782 B
Markdown
# Mwanangu, aliyetoka katika mwili wangu
|
|
|
|
Daudi anamweleza mwanawe katika njia hii kusisitiza ukaribu uliopo kati ya baba na mwana.
|
|
|
|
# anataka kuchukua uhai wangu
|
|
|
|
Hii ni njia laini ya kuonesha hali ya kumwua mtu.
|
|
|
|
# Si zaidi sana mbenjamini huyu akatamani anguko langu
|
|
|
|
Daudi anatumia swali hili kuonesha kwamba hashangazwi kwamba mtu yule anataka kumwua.
|
|
|
|
# anatamani anguko langu
|
|
|
|
Hapa Daudi anaelezea tamaa ya mtu ya kumwua kama vile Daudi alikuwa kitu ambacho mtu alitaka kukiangamiza.
|
|
|
|
# Mwache peke yake alaani
|
|
|
|
Hapa kifungu "mwache peke yake" kinamaanisha kuacha kumzuia kufanya anachokifanya.
|
|
|
|
# ataangalia
|
|
|
|
Hapa "kutazama" kunamaanisha "kujari"
|
|
|
|
# maangaiko niliyofungiwa
|
|
|
|
Hapa Daudi anazungumzia maangaiko kama vile yalikuwa ni mnyama mkari ambaye Mbenjamini amemfungia.
|