sw_tn/2sa/16/11.md

782 B

Mwanangu, aliyetoka katika mwili wangu

Daudi anamweleza mwanawe katika njia hii kusisitiza ukaribu uliopo kati ya baba na mwana.

anataka kuchukua uhai wangu

Hii ni njia laini ya kuonesha hali ya kumwua mtu.

Si zaidi sana mbenjamini huyu akatamani anguko langu

Daudi anatumia swali hili kuonesha kwamba hashangazwi kwamba mtu yule anataka kumwua.

anatamani anguko langu

Hapa Daudi anaelezea tamaa ya mtu ya kumwua kama vile Daudi alikuwa kitu ambacho mtu alitaka kukiangamiza.

Mwache peke yake alaani

Hapa kifungu "mwache peke yake" kinamaanisha kuacha kumzuia kufanya anachokifanya.

ataangalia

Hapa "kutazama" kunamaanisha "kujari"

maangaiko niliyofungiwa

Hapa Daudi anazungumzia maangaiko kama vile yalikuwa ni mnyama mkari ambaye Mbenjamini amemfungia.