sw_tn/2sa/15/35.md

502 B

Je haunao pamoja nawe Sadoki na Abiathari makuhani?

Daudi anauliza swali hili ili kumwambia Hushai kwamba hayupo peke yake. Yaani kuonesha kwamba "Sadoki na Abiathari makuhani watakuwepo kukusaidia."

chochote unachosikia... lolote usikialo

Hii ni kuzidisha maana; haimaanishi kila neno asikialo. Inamaanisha mambo muhimu ayasikiayo.

Ahimaasi... Yonathani

Haya ni majina ya watu.

Kwa mikono yao

Kifungu "mikono yao" kinarejerea kwa wana na kinamaanisha kwamba wangehudumu kama wajumbe.